Baba askofu beatus urassa akiwa pamoja na askofu mstahili damian kyaruzi.
Maaskofu wa majimbo mbalimbali wakiwapongeza wajubilei
Mazingira ya nje ya kanisa
Muonekano wa goroto
Lango kuu la kuingia kanisani
Mama yetu maria mtakatifu utuombee!!!
Watakatifu wote wa mungu! mtuombeee!!
Dominika ya leo, katika parokia yetu tumeadhimisha sherehe ya watakatifu wote! ee mungu utujalie tuwake shauku ya kuwa watakatifu. amina
Karibuni sana katika shule yetu ya parokia "nursery", tuwalee watoto wetu kitaaluma na kimaadili
Watoto wetu wa "three magi nursery school" wakiwa katika picha ya pamoja na mwalimu wao (pembeni kushoto), na kulia ni padre peter twamba (mlezi wa watoto kiroho)
Shule ya awali ya mamajusi watatu, ya parokia yetu. inayopatikana hapa kanisa kuu.
Watoto wetu wakiwa darasani kuendelea kujifunza.
Mlete mwanao apate malezi bora ya kitaaluma na kimaadili. walimu wetu ni mahili wenye bidii ya kumlea na kumfundisha mwanao. karibu sana.
Shule hii ya awali inamilikiwa na parokia yetu ya epiphania - kanisa kuu, inapokea watoto wote kwa ajili ya kuwaandaa vizuri kielimu na kimaadili. nyote mnakaribishwa. fika katika ofisi zetu za shule katika lango kuu la kuingia kanisani "cathedral" upande wa kushoto. nyote mnakaribishwa.
Kanisa kuu s.l.p 40 sumbawanga (education for future)
Tusimame imara katika imani!!!
Wawata - jimbo katoliki sumbawanga
"bwana amezaliwa kwa ajili yetu"
Ee yesu utuhurumie!
Mama wa mungu utuombee!!
Siku 40 za tafakari
Tutubu na kuimani injili
Tunawatakia dominika njema ya matawi
Tutafakari; mateso, kifo na ufufuko wa bwana wetu yesu kristu.
Tunakutakia pasaka njema
Bwana amefufuka aleluya, aleluya!!!!!
Dominika njema ya kupaa bwana
Novena ya roho mtakatifu
Roho mungu njoo!!!
Picha ya baba mtakatifu.
Picha ni matukio mbalimbali wakati wa adhimisho la misa takatifu ya kuhitimisha mafungo ya mapadre wa jimbo katoliki sumbawanga. misa takatifu imeadhimishwa katika kanisa la mtakatifu libori na padre modest katonto makamo wa askofu jimbo katoliki sumbawanga.
Hitimisho
Nunc commodo lacinia ipsum, scelerisque cursus libero ullamcorper sed. Praesent fermentum nisl ac neque tristique porttitor.
Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanjaribu kwa njia hiyo,sema BWANA wa majeshi;mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha,au la.

Mkristo anaweza kuomba misa!

Phone: 0770000000
Email: info@epifania.or.tz
Website: https://atlais.org